Shule ni moja ya silaha muhimu kwa watu wenye mahitaji maalum kuweza kuyamudu mazingira yao.
| Mwl Fanuel Mwakanosya akiingiza karatasi kwenye perkins tayari kwa kuandika |
| Walimu Patrick Ngaillo (kushoto) na Fanuel Mwakanosya wakishauriana jambo |
| Mwl Fanuel Mwakanosya akiandaa notes kwa kutumia perkins |
| Mwl Charles akiwa tayari kwa kutumia perkins kuandika notes |
| Mwl Charles Kibugi akirekebisha perkins kabla ya kuanza kuitumia |
| Mwl Mercy Tarimo akiwa ktk kazi ya kusahihisha maandishi ya nukta nundu |
| Mwl Magreth Mdendea akiweka karatasi kwenye perkins |
| Mwl Magreth Mdendea akiandaa notes za wanafunzi kwa kutumia perkins |
| Mwl Rehema Mtenga akijiandaa kuandika kwa kutumia perkins |
| Mwl Rehema Mtenga akitunga mtihani kwa kutumia perkins |
| Matumizi ya Thermoform |
| Walimu wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kutoa kopi za nukta nundu kwenye "thermoform" |
| Mwl Fanuel Mwakanosya akitumia "Thermoform |