Science and Mathematics Teacher Needed
British School of Zanzibar
Deadline: Jan 12, 2014Sales Person
Jason & Co Ltd.
Deadline: Jan 20, 2014Tented Camp Manager
Sura Afrika
Deadline: Jan 10, 2014Yard Controller
Mukuba Depot
Deadline: Jan 10, 2014Programme Finance Associate
UNDP Tanzania
Deadline: Jan 05, 2014Business Partners
Disney International Consultancy
Deadline: Jan 11, 2014Program Finance & Administration Officer-25 Posts
World Vision Tanzania
Deadline: Jan 01, 2014Senior Project Officer – Marketing and Financing
Catholic Relief Services
Deadline: Jan 10, 2014Marketing Executives
Disney International Consultancy
Deadline: Jan 31, 2014Secretariat ED-DPG
USAID/Tanzania
Deadline: Jan 06, 2014Senior Electrical Technician-One Post
SBC Tanzania limited (PEPSI)
Deadline: Jan 06, 2014Maintenance Supervisor –One Post
SBC Tanzania limited (PEPSI)
Deadline: Jan 06, 2014Project Development Specialist
USAID Tanzania
Deadline: Jan 06, 2014Internal Auditor (One Post)
Bank of India (Tanzania) Ltd
Deadline: Jan 10, 2014Risk/Compliance Manager (One Post)
Bank of India (Tanzania) Ltd
Deadline: Jan 10, 2014Project Officer-Social Franchising Project
Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA)
Deadline: Jan 07, 2014Senior Medical Officer III (One Post)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Medical Officer II (Two Posts)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Quality Officer
Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA)
Deadline: Jan 07, 2014Senior Legal Officer (One Post)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Nursing Officer II (Three Posts)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Nursing Officer III (Three Posts)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Health Attendant III (One Post)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Health Records Technician (Medical Recorder) II (Two Posts)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Social Welfare Officer III (One Post)
Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
Deadline: Jan 07, 2014Type-Writers(Five Posts)
Tekton Suppliers
Deadline: Dec 28, 2013Physiotherapist
CCBRT
Deadline: Jan 15, 2014Aircraft Maintenance Technicians (Seven Posts)
Precision Air Services Plc
Deadline: Dec 31, 2013CR-Cum Driver (Mbeya) –Six Posts
SBC Tanzania limited (PEPSI)
Deadline: Jan 06, 2014Production Officer –Three Posts
SBC Tanzania limited (PEPSI)
Deadline: Jan 05, 2014Communication Officer: One Post
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Drivers: Two for Mbeya, One for Njombe and One for Iringa
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Community and Gender Officer: One Position
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Zonal Officer – One Post
Dodoma Urban Water supply and Sanitation Authority (DUWASA)
Deadline: Jan 10, 2014Senior Administrative and Finance Assistant: One Position for Mbeya
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Administrative and Finance Assistant: One (01) each for Njombe and Iringa
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Consultant as International Project Manager Country Study on Illicit financial flows from Tanzania
Royal Norwegian Embassy
Deadline: Dec 30, 2013Operations Technician – One Post
Dodoma Urban Water supply and Sanitation Authority (DUWASA)
Deadline: Jan 10, 2014Dairy Production Advisor: Two (2) Positions each for Mbeya, Iringa and Njombe
Heifer' International
Deadline: Jan 05, 2014Security Officer
National Bank of Commerce (NBC)
Deadline: Dec 30, 2013Personal Secretary - One Post
Dodoma Urban Water supply and Sanitation Authority (DUWASA)
Deadline: Jan 10, 2014Driver – One Post
Dodoma Urban Water supply and Sanitation Authority (DUWASA)
Deadline: Jan 10, 2014Plumber – Two Posts
Dodoma Urban Water supply and Sanitation Authority (DUWASA)
Deadline: Jan 10, 2014Marketing Intern/Volunteer
Communication Solution
Deadline: Dec 31, 2013Accounts/Admin
Muhammad Sundries
Deadline: Feb 28, 2014Request for Application (RFA No. 6289-13-420X-01)
Helen Keller International
Deadline: Dec 30, 2013Principal/Administrator at a Primary English Medium School.
Tanga Bohra Education Society (TBES)
Deadline: Dec 31, 2013Freelancer Sales Executive (Six Posts)
Mwananchi Communications Limited
Deadline: Jan 04, 2014Correspondent-33 Post
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Office Attendant (Seven Posts)
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Dispatch Supervisor-(Two Posts)
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Sales Representative - (Five Posts)
Mwananchi Communications Limited
Deadline: Jan 04, 2014Retainer (Eight Posts)
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Sub Editor (Dar es Salaam Post)
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Secretary
Turkish Embassy
Deadline: Jan 08, 2014Sales Supervisor
Mwananchi Communications Ltd
Deadline: Jan 04, 2014Stores Manager
First Air Responder (T) Ltd
Deadline: Jan 06, 2014Sales Representative
First Air Responder (T) Ltd
Deadline: Jan 06, 2014Driver
International Rescue Committee
Deadline: Dec 31, 2013GBV Legal Officer
International Rescue Committee
Deadline: Dec 31, 2013Administration Assistant
Catholic Relief Services
Deadline: Dec 31, 2013Talent Acquisition Specialist
Global Careers Company
Deadline: Dec 30, 2013Operation Officer
International Rescue Committee
Deadline: Dec 31, 2013Driver
International Rescue Committee
Deadline: Dec 31, 2013Accounts/Admin
Muhammad Sundries
Deadline: Feb 28, 2014Marketing Intern/ Volunteer
Deal Zipo
Deadline: Dec 31, 2013Key Account Manager
Burque East Africa Private Limited
Deadline: Jan 06, 2014Recruitment Consultant
CV People Africa
Deadline: Feb 28, 2014National Coordinator for Development of Micro-insurance in Tanzania
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Deadline: Jan 23, 2014Planning and Investment Officer II (One Post)
Arusha International Conference Centre (AICC)
Deadline: Jan 03, 2014Records Management Assistant I (One Post)
Arusha International Conference Centre (AICC)
Deadline: Jan 03, 2014Senior Maintenance Officer (One Post)
Arusha International Conference Centre (AICC)
Deadline: Jan 03, 2014Maintenance Officer (Two Posts)
Arusha International Conference Centre (AICC)
Deadline: Jan 03, 2014Sales Representative
Shugulika Recruitment
Deadline: Jan 06, 2014Promotions Manager
Coca-Cola Kwanza Limited
Deadline: Dec 28, 2013Communications Coordinator
Tanzanian Men as Equal Partners (TMEP)
Deadline: Dec 31, 2013Manager Security
Aga khan Health Services, Tanzania
Deadline: Dec 31, 2013Community Development Facilitators (Four Posts Ifakara, Mwanza & Kibaha)
Plan International Tanzania
Deadline: Dec 31, 2013Violence Against Children (VAC) Project Manager (One Post Dsm)
Plan International Tanzania
Deadline: Dec 31, 2013Receptionist - One Post
Mediterraneo Hotel & Restaurant
Deadline: Dec 31, 2013Cargo Sales Manager
Precision Air Services Plc
Deadline: Dec 31, 2013Sales Executive
Precision Air Services Plc
Deadline: Dec 31, 2013Sales Executive
Precision Air Services Plc
Deadline: Dec 31, 2013Consultant - Mid Term Review (The Sexual Reproductive Health and Rights (SRSHR) Alliance; the “Afya Bora ya Uzazi ni Haki ya Kila mmoja, Pamoja Tunaweza” Alliance)
AMREF
Deadline: Jan 10, 2014Orphan Care Program Officer
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Water Projects Officer
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Finance Manager
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Marketing Executive
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Assistant Project Officer
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Children's Village Project Officer
Islamic Help Tanzania
Deadline: Jan 15, 2014Human Rescource Manager
International Rescue Committee
Deadline: Dec 31, 2013(REF: EAC/LVBC/CONS/HR/13-14/04) - Procurement Consultant
Lake Victoria Basin Commission (LVBC)
Deadline: Jan 24, 2014Public Relations Officer I (One Post)
Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority (Tanga UWASA)
Deadline: Jan 13, 2014Manager Fuel & Lubricants Contracts - One Post
Tanzania Electric Supply Company (TANESCO)
Deadline: Jan 02, 2014Applications Architect and Developer- 3 Posts
Tanzania Electric Supply Company (TANESCO)
Deadline: Jan 02, 2014Water Network Technician II (One Post) Re-advertised
Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority (Tanga UWASA)
Deadline: Jan 13, 2014Internal Auditor
CCBRT
Deadline: Dec 30, 2013Senior Alliance Officer
CCBRT
Deadline: Dec 30, 2013Consultant as International Project Manager
Government of Tanzania
Deadline: Dec 30, 2013Consultant Salary Survey
CCBRT
Deadline: Dec 30, 2013
Saturday, December 28, 2013
Nafasi Za Kazi Kuanzia January 2014
Wednesday, December 25, 2013
RAIS JK ASHEHEREKEA KRISMASI NA YATIMA
RAIS Jakaya
Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa
zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi
msaada huo kwa niaba ya Rais Kikwete katika Mkoa wa Dar es Salaam ambapo alitoa
mchele kilo 1,150, ndoo za mafuta 11 za lita 20, ndoo ndogo nne za mafuta za
lita 10 na mbuzi23.
Fungamo alisema msaada huo umetolewa kwa watoto yatima, wazee
wasiojiweza na watoto walio katika mkinzano wa sheria katika vituo 17 nchini.
Alisema
msaada huo aliokabidhi ni kwa vituo 11 vilivyoko Dar es Salaam ambavyo ni Kituo
cha watoto IBN Kathir, Makao ya Watoto Kurasini, Makao ya Watoto Yatima
Msimbazi, Kituo cha Yatima Group, Kituo cha Kwetu Mbagala Girls Home, Kituo cha
Chakuwama, Mahabusi ya Watoto, Makao ya Watoto Yatima Mburahati, Vosa Mission,
Kituo cha Tuwapende Watoto na Makao ya Wazee Wasiojiweza.
Alisema msaada kama huo umekwenda pia Pemba, Unguja,
Kilimanjaro, Singida, Mwanza na Tanga.
CHANZO: GAZETI LA TANZANIA DAIMA
Pata Kazi Nzuri Hapa!
Kwa Wenye vigezo vinavyokidhi ombeni kazi kupitia anwani hizi hapa
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10739474?trk=rj_em
(TechnoServe – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/9890054?trk=rj_em
(Barrick Gold
Corporation - Dar es Salaam, TZ-02)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10732642?trk=rj_em
(Amicorp Group – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10042109?trk=rj_em
(SGS – Kenya)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/9892521?trk=rj_em
(Trina Solar – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10020834?trk=rj_em
(DAI - Dar es Salaam)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10010521?trk=rj_em
(AngloGold Ashanti – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10739474?trk=rj_em
(TechnoServe – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/9890054?trk=rj_em
(Barrick Gold
Corporation - Dar es Salaam, TZ-02)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10732642?trk=rj_em
(Amicorp Group – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10042109?trk=rj_em
(SGS – Kenya)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/9892521?trk=rj_em
(Trina Solar – Tanzania)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10020834?trk=rj_em
(DAI - Dar es Salaam)
http://www.linkedin.com/jobs2/view/10010521?trk=rj_em
(AngloGold Ashanti – Tanzania)
Sikukuu ya Krismasi yawa Faraja kwa watoto yatima Morogoro
Miss Happiness Watimanywa akiwakabidhi zawadi watoto yatima |
Wazazi wa Miss Happiness Watimanywa wakiwa wamembeba mtoto yatima |
Miss Happiness Watimanywa na wadogo zake wakiwa kwenye picha ya pamoja huku wakiwa wamewabeba baadhi ya watoto yatima wa kituo cha Magole |
Miss Happiness Watimanywa akitoa zawadi kwa watoto yatima
Rafiki wa Miss Happiness Watimanywa akiwa
amembeba mtoto yatima wa kituo cha Magole
|
Monday, December 23, 2013
Je, Zitto Zuberi Kabwe bado anahitaji kubakia CHADEMA?
Mh. Zitto Kabwe awasili kwenye Viwanja vya Mwanga CENTRE na
kutambulisho kwa viongozi wa chama, adai yeye (ZItto) ni Mbunge wa Kitaifa, Wanakigoma
hawababaishwi na ubaguzi unaeondelea CHADEMA.
MWENYEKITI WA VIJANA MKOA WA KIGOMA ASEMA
Wanakigoma, ZItto ni mmoja wa vijana wa kigoma, tuna kila sababu ya Kumlinda, kumpigania na kusimama naye katika hatua zozote zile. Naomba tuungane kupambana naye kwenye hatua hii inayaoendelea ndani ya chama. Inauma sana kuona tumepigwa mabomu, risasi, tumetumia muda wetu kuijenga chadema, leo matunda yameanza kutoka wanakata mti kwasababu tu wao wanataka kujinufaisha. HAPANA!
KATIBU WA CHADEMA MKOA WA KIGOMA ASEMA
Nimeulizwa mwasali mengi sana kwanini hakuna bandera,kwanza ni salamu kwa Katibu Mkuu kuwa Chadema Kigoma hatuna bendera,fedha za kununulia hatua(ruzuku).Pia mapokezi ya zitto licha ya kuwa ya chama,ZItto tumempokea Kitaifa.
Nimekuja kuzungumza nanyi wanakigoma kwa Mujibu wa katiba
ya chama,kama Katibu wa Mkoa alivyoeleza na katibu wa chadema hapa Kigoma
mjini.
Hivyo msithubutu kusikia propaganda zozote zile eti nitawajibishwa kwasababu ya kufanya mikutano nje ya Kigoma kaskazini,katiba ya chama inaniruhusu na katiba ya nchi inaniruhusu pia kwenda popote na kufanya chochote bila kuvunja sheria.
Wote mnakumbuka nilichukulia kadi kwenye uwanja huu mwaka 1993 nikiwa na miaka 16. Nimepata Ubunge nikiwa na miaka 29 kwenda kuwawasilisha wananchi wangu wa kigoma kaskazini na nchi nzima. Mnakubaliana nami namna nilivyokuwa kiongozi bora ndani ya bunge, Kuanzia hoja ya Buzwagi, Kumng'oa waziri mkuu na sasa Mabilioni ya Uswis.
Pia namna nilivyopigania ujenzi wa rami mkoa wa Kigoma, lakini lengo langu ni kutaka siku zote wanakigoma mjivunie kutaja kuwa wewe ni mzawa wa kigoma,na nimeshaijenga heshima hiyo.
Hivyo msithubutu kusikia propaganda zozote zile eti nitawajibishwa kwasababu ya kufanya mikutano nje ya Kigoma kaskazini,katiba ya chama inaniruhusu na katiba ya nchi inaniruhusu pia kwenda popote na kufanya chochote bila kuvunja sheria.
Wote mnakumbuka nilichukulia kadi kwenye uwanja huu mwaka 1993 nikiwa na miaka 16. Nimepata Ubunge nikiwa na miaka 29 kwenda kuwawasilisha wananchi wangu wa kigoma kaskazini na nchi nzima. Mnakubaliana nami namna nilivyokuwa kiongozi bora ndani ya bunge, Kuanzia hoja ya Buzwagi, Kumng'oa waziri mkuu na sasa Mabilioni ya Uswis.
Pia namna nilivyopigania ujenzi wa rami mkoa wa Kigoma, lakini lengo langu ni kutaka siku zote wanakigoma mjivunie kutaja kuwa wewe ni mzawa wa kigoma,na nimeshaijenga heshima hiyo.
Lakini ndugu zangu Ng'ombe akiumizwa malishoni anakimbilia
zizini. Nimekuja Nyumbani kuzungumza na wananchi wangu, ndani ya chama
nimeumizwa, nimevumilia sana kwa mikuki ninayopigwa na wenzangu ndani ya chama.
Uchaguzi wa ndani ya chama uliopita nilijitosa kugombea uenyekiti, lakini wazee wa chama wakaniita na kuniomba nimuachie mwenzangu awe mwenyekiti, NIKAKUBALI.
Lakini kuna vijana wamesulubiwa ndani ya chama kwasababu tu wamekuwa wakiniunga mkono. Mchange Habib alishinda uchaguzi wa Umoja wa Vijana, lakini matokeo yake yakafutwa na kupewa mtu mwingine wasababu yangu.
Akina Kafulila pia walishughulikiwa ndani ya chama kwasababu ya kudai haki, bahati mbaya sana Kafulila akaondoka chadema kwa hasira.
MIMI NITAPIGANIA HAKI YANGU kwa sababu ndani ya chadema kuna jasho langu, Kuna nguvu na mali zangu nilizopigania, Kuna watanzania waliopigwa risasi, mabomu na wengine kufariki kwasabau ya kupigania chadema.
KUONDOKA CHADEMA NI KUWASALITI WAPIGANIA HAKI, KUWASALITI WALIOKUFA KWASABABU YA KUIPIGANIA CHADEMA ISIMAME HADI HAPA ILIPO.
Pia naomba mtambue hoja yangu ya PAC inanimaliza chadema, Wenzangu ndani ya chama wananiandama kwasababu sikuwajulisha mapema kuhusu mahesabu ya ruzuku/mapato ya chama. Hakika katika hili nitaendelea kusimamia hoja yangu kwa Maslahi ya chama, Chadema lazima ikaguliwe kwa mujibu wa kanuni na sheria za nchi.
Jana mmesikia Slaa kwenye vyombo vya habari akisema atanifukuza eti vijana wanaoniunga mkono na wananchi wananiponza, Watanzania huku sio kufukuzwa?
Slaa ni katibu Mkuu wa chama na ndiye mwendesha vikao, leo hii anatoa huku kabla ya Vikao, huku sio kufukuzwa?
Mwenyekiti wa chama pia alinukuliwa na vyombo vya habari kule mwanza, eti zitto akirudishiwa vyeo vyake ndani ya chama labda mimi sio Mbowe! Wanzania huko sijafukuzwa tayari?
Leo hii wajumbe wa mkutano mkuu wameshaanza kuandikisha majina yao wakiomba mkutano mkuu uitishwe ili kujadili hatma ya mambo yanayoendelea ndani ya chama, pia kujadili rufaa yangu. LAKINI DR. SLAA ANAWATISHIA ETI WAOAFANYA HIVYO NI WASALITI NA WAHUJUMU WA CHAMA!
Endelea kuangalia zaidi picha za mkutano huu.
Uchaguzi wa ndani ya chama uliopita nilijitosa kugombea uenyekiti, lakini wazee wa chama wakaniita na kuniomba nimuachie mwenzangu awe mwenyekiti, NIKAKUBALI.
Lakini kuna vijana wamesulubiwa ndani ya chama kwasababu tu wamekuwa wakiniunga mkono. Mchange Habib alishinda uchaguzi wa Umoja wa Vijana, lakini matokeo yake yakafutwa na kupewa mtu mwingine wasababu yangu.
Akina Kafulila pia walishughulikiwa ndani ya chama kwasababu ya kudai haki, bahati mbaya sana Kafulila akaondoka chadema kwa hasira.
MIMI NITAPIGANIA HAKI YANGU kwa sababu ndani ya chadema kuna jasho langu, Kuna nguvu na mali zangu nilizopigania, Kuna watanzania waliopigwa risasi, mabomu na wengine kufariki kwasabau ya kupigania chadema.
KUONDOKA CHADEMA NI KUWASALITI WAPIGANIA HAKI, KUWASALITI WALIOKUFA KWASABABU YA KUIPIGANIA CHADEMA ISIMAME HADI HAPA ILIPO.
Pia naomba mtambue hoja yangu ya PAC inanimaliza chadema, Wenzangu ndani ya chama wananiandama kwasababu sikuwajulisha mapema kuhusu mahesabu ya ruzuku/mapato ya chama. Hakika katika hili nitaendelea kusimamia hoja yangu kwa Maslahi ya chama, Chadema lazima ikaguliwe kwa mujibu wa kanuni na sheria za nchi.
Jana mmesikia Slaa kwenye vyombo vya habari akisema atanifukuza eti vijana wanaoniunga mkono na wananchi wananiponza, Watanzania huku sio kufukuzwa?
Slaa ni katibu Mkuu wa chama na ndiye mwendesha vikao, leo hii anatoa huku kabla ya Vikao, huku sio kufukuzwa?
Mwenyekiti wa chama pia alinukuliwa na vyombo vya habari kule mwanza, eti zitto akirudishiwa vyeo vyake ndani ya chama labda mimi sio Mbowe! Wanzania huko sijafukuzwa tayari?
Leo hii wajumbe wa mkutano mkuu wameshaanza kuandikisha majina yao wakiomba mkutano mkuu uitishwe ili kujadili hatma ya mambo yanayoendelea ndani ya chama, pia kujadili rufaa yangu. LAKINI DR. SLAA ANAWATISHIA ETI WAOAFANYA HIVYO NI WASALITI NA WAHUJUMU WA CHAMA!
Endelea kuangalia zaidi picha za mkutano huu.
Bendera ya CHADEMA haikupeperushwa kwa shamrashamra kama ilivyozoeleka kwenye mikutano mingi ya CHADEMA. Je hii ndiyo dalili ya kuwa watu walikwenda kumsikiliza Zitto kama Mwanakigoma na si kwa mambo ya kichama?
Dr. Nchimbi, Nahodha, na Kaghasheki wanastahili kushtakiwa

Kitendo cha kufanya uzembe kiasi cha
kusababisha kuvunja haki za binadamu ni moja ya vigezo tosha kabisa mawaziri
waliojiuzuru Tanzania kushtakiwa. Wananchi waliteswa na kuuawa kinyama.
Ili somo liwe limeiva ni vizuri hawa
mawaziri wakashtakiwa kwa kosa hilo la kuvunja haki za binadamu.
Taarifa ya kamati ya bunge sehemu ya 2.2.4 inataja Changamoto
za Operesheni Tokomeza kuwa ni pamoja na vifo vilivyotokea wakati wa Operesheni. Nukuu
ya maneno ya taarifa
ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu tathmini
ya matatizo yaliyotokana na Oparesheni Tokomeza:
“Mheshimiwa Spika,Taarifa ya Serikaliiliainisha vifo kamachangamoto kubwa
iliyojitokeza wakati wautekelezaji wa Operesheni Tokomeza kutokana na watumishi
6 na watuhumiwa 13 kupoteza maisha”.
Watu 13 walitajwa kama watuhumiwa, na ndio waliopata mateso
makubwa na hatimaye wakafa kutokana na uzembe wa hawa mawaziri tajwa.
![]() |
Baadhi ya wananchi walioteswa wakati wa operesheni |
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha |
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dr. Emmanuel Nchimbi |
Zoezi la timuatimua kwa mawaziri lisiishie kwa hawa wanne tu (wa nne ni Mathayo David Mathayo). Nchi ina mambo mengi ya kuyafanyia kazi, wasipoweza kazi waondolewe ili kunusuru Taifa letu la Tanzania.
Kauli za Edward Lowasa ni nzito kama za mkuu wa nchi
Lowassa awapa matumaini bodaboda
JESHI la Polisi, Kikosi cha
Usalama Barabarani, lipo katika mazungumzo na waendesha bodaboda ili kuangalia
namna ya kuimarisha usalama barabarani, na kupunguza vitendo vya ukiukwaji wa
haki za binadamu, vinavyofanywa na baadhi ya askari usalama barabarani kwa watu
hao.
Hayo yalielezwa jana,
wakati akizungumza kwenye tamasha la Siku ya Waendesha Bodaboda Dar es
Salaam (Bodaboda Day), lililofanyika katika viwanja vya Leaders na kudhaminiwa
na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na Clouds Media Group.
Lowassa ambaye ni mbunge wa Monduli, alisema bodaboda ni ajira
kwa vijana wengi waliokuwa mitaani, na hivyo ni vyema ikawa na mfumo rasmi,
utakaowatambulisha na kuwasaidia kupata fursa mbalimbali za kiuchumi.
“Nimefanya mazungumzo na Mohamed Mpinga (Kamanda wa Kikosi cha
Usalama Barabarani), na kuangalia ni namna gani ya kuwasaidia vijana wa
bodaboda, amesema inawezekana, na sasa yupo katika mazungumzo na wadau wa
bodaboda ili kuboresha usafiri huo.
“Kuna baadhi ya askari wa usalama barabarani ni wavunjaji wa
sheria, wanaongoza kwa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, lakini pia
vijana wa bodaboda lazima waheshimu kazi yao kwa kufuata sheria ili kuifanya
kazi hiyo iweze kuthaminika, na nawaahidi mkifuata sheria kama
tulivyokubaliana, kila mmoja atapata pikipiki yake,” alisisitiza.
Alisema tatizo la foleni kwa Mkoa wa Dar es Salaam ni
changamoto, na endapo bodaboda zikitumika vizuri, zitasaidia kupunguza adha
hiyo na kuinua uchumi wa nchi.
Lowassa alisema uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba asilimia 50
ya waendesha bodaboda si wamiliki, hivyo wanaandaa harambee itakayosaidia
kuanzisha Saccos ili vijana wamiliki pikipiki zao binafsi.
Meneja wa Uchangiaji wa Hiyari PSPF, Mwanjaa Sembe, alisema
wameamua kuwasaidia waendesha bodaboda na kuwaelimisha juu ya utamaduni wa
kujiwekea akiba kwa maisha yao ya baadaye.
“Mafao yetu ni tofauti na mifuko mingine, na inawajali
wafanyakazi wa serikali, sekta binafsi na hata mtu mmoja mmoja, sio tu
bodaboda, lakini Watanzania wote wajifunze kuwa na utaratibu wa kujiwekea
akiba,” aliongeza Mwanjaa.
Mmoja wa waandaaji wa tamasha hilo, Dennis Lucas, alisema nia ni
kuunda umoja wenye manufaa, kwa kuelimishana na kutafutiana fursa, hususan
kwenye mikopo, ili kuinua uchumi wa vijana nchini.
Subscribe to:
Posts (Atom)